653 B
653 B
Maelezo ya Jumla
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Abrahamu, baba yako
Mungu anazungumzia mababu zao kana kwamba alikuwa baba yao. "Abrahamu, babu yako" au "Abrahamu, mhenga wako"
Sara, aliyekuzaa
Mungu anazungumzia mke wa Abrahamu kana kwamba alikuwa mama yao na amewazaa wao. "Mke wa Abrahamu, Sara, ambao nyote ni vizazi vyake"
alipokuwa mtu binafsi
Hii ina maana pale alipokuwa bado hana watoto. Hii inaweza kuwekwa wazi. "alipokuwa hana watoto"
kumfanya kuwa wingi
Mungu anazungumzia uzao wa Abrahamu kuwa wengi kana kwamba Abrahamu alikuwa wingi. "alifanya uzao wake kuwa wengi" au "alimfanya kuwa na uzao mwingi"