sw_tn/isa/45/16.md

846 B

Wataaibika na kufeheshwa pamoja; wale wanaochonga sanamu watatembea kwa aibu

Mistari hii miwili inatumia maana moja, na wa pili kufafanua neno la mstari wa kwanza

Wataaibika na kufeheshwa pamoja

Maneno "aibishwa" na "fedheheshwa" kwa msingi yana maana moja na husisitiza ukali wa aibu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Sanamu zao zitawaacha wote na aibu kabisa"

watatembea kwa aibu

Kuishi katika aibu ya muendelezo inazungumziwa kana kwamba ilkuwa kutembea katika aibu. "ataendelea kuabishwa"

Israeli ataokolewa na Yahwe

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. 'Yahwe atawaokoa watu wa Israeli"

hautakuwa tena na aibu au fedheha

Hapa "hautakuwa" ina maana ya watu wa Israeli. Maneno "aibu" na "fedheha" ina maana ya kitu kimoja. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Hakuna mtu atakayekuaibisha tena"