sw_tn/isa/44/26.md

781 B

nani alithibitisha maneno ya mtumishi wake na kuyafanya kutendeka utabiri wa wajumbe wake

Yahwe anasema jambo moja mara mbili kusisitiza ya kwamba ni yeye pekee, Yahwe, ambaye husababisha unabii kutimia.

maneno ya mtumishi wake ... utabiri wa wajumbe wao

Nomino dhahania "maneno" na "utabiri" inaweza kutafsiriwa kama vitenzi. "kile mtumishi wake atakavyotamka ... kile wajumbe wake wanachotangaza"

Atafanyiwa makazi

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Watu wataishi pale tena"

Itajengwa tena

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Watu wataijenga tena"

Nitainua uharibifu wao

Msemo "uharibifua" ina maana ya sehemu ambazo zimeangamizwa. Yahwe anazungumza kuijenga tena kana kwamba alikuwa akiinua. "Nitajenga tena kile wengine walichoangamiza"