sw_tn/isa/44/19.md

446 B

Sasa naweza kutengeneza ... kitu cha kuchukiza cha kuabudu? Je! nitainama chini kwa kipande cha mbao?

Yahwe anasema ya kwamba watu hawa wanatakiwa kujiuliza maswali haya ya balagha. Maswali yanatazamia majibu ya kukana na kusisitiza jinsi itakavyokuwa upumbavu kwa mtu kufanya mambo haya. Maswali haya yanaweza kutafsiriwa kama kauli. "Sitakiwi sasa kutengeneza ... kitu cha kuchukiza cha kuabudu. Sitakiwi kuinama chini kwa kipande cha mbao"