sw_tn/isa/40/13.md

1018 B

Taarifa ya Jumla

Isaya anaendelea kutumia maswali kusisitiza utofauti wa Yahwe.

Ni nani ameelewa akili ya Yahwe, au kumwelekeza kama mshauri wake?

Swali hili la balagha linatarajia jibu la kukana na kusisitiza ya kwamba hakuna mtu aliyewahi kufanya vitu hivi. "Hakuna mtu aliyeelewa akili ya Yahwe, na hakuna mtu alimwelekeza kama mshauri wake".

ameelewa akili ya Yahwe

Hapa neno "akili" lina maana ya mawazo ya Yahwe, lakini pia na hamu na motisha zake.

Kutoka kwa nani alwahi kupokea maelekezo?

Swali hili la balagha linatarajia jibu la kukana na linasisitiza ya kwamba hakuna mtu aliyewahi kufanya hivi. "Hajawahi pokea maelekezo kutoka kwa mtu"

Nani alimfundisha njia sahihi ya kufanya mambo, na kumfundisha uelewa, au kumwonyesha njia ya maarifa?

Swali hili la balagha linatarajia jibu la kukana na kusisitiza ya kwamba hakuna mtu aliyewahi kufanya vitu hivi. "Hakuna mtu aliyemfundisha njia sahihi ya kufanya vitu. Hakuna mtu aliyemfundisha uelewa. Hakuna mtu aliyemwonyesha njia ya maarifa".