sw_tn/isa/40/01.md

1006 B

Fariji, fariji

Neno "fariji" linarudwa kwa ajili ya msisitizo

asema Mungu wako

Hapa "wako" ni wingi na ina maana ya wale ambao nabii anawaambia kufariji watu wa Mungu.

Zungumza kwa upole kwa Yerusalemu

Nabii anazungumzia Yerusalemu kana kwamba ilikuwa mwanamke ambaye Yahwe alimsamehe. Kwa hiyo, Yerusalemu inawakilisha watu wanaoishi katika mji huo. Zungumza kwa upole kwa watu wa Yerusalemu"

tamka kwake ...ustawi wake ... udhalimu wake amepokea ... dhambi zake

Viwakilishi nomino vina maana ya Yerusalemu lakini inaweza kubadilishwa kama "watu wa Yerusalemu" inaazimwa kama tafsiri. "tangaza kwao ... ustawi wao ... udhalimu wao ... wamepokea ... dhambi zao"

ustawi wake

Maana zaweza kuwa ya kwamba neno "ustawi" lina maana ya 1) kwa vita ya kijeshi au 2) kwa kazi ya kulazimishwa.

udhalimu wake umesamehewa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe amesamehe udhalimu wake"

kutoka mkononi mwa Yahwe

Hapa neno "mkono" inawakilisha Yahwe mwenyewe. "kutoka kwa Yahwe"