sw_tn/isa/35/03.md

878 B

Taarifa ya Jumla

Isaya anazungumza na watu wa Yuda.

Imarisha mikono iliyolegea, na nyosha magoti yanayotetemeka

Maneno "mikono iliyolegea" na "magotiu yanayotetemeka" yanawakilisha mtu ambaye ana hofu. "Imarisha wale ambao mikono yao ni dhaifu na ambao magoti yao hutetemeka kwa hofu"

wale wenye moyo wa uoga

Hapa watu wanamaanishwa kwa mioyo yao, ambayo inasisitiza hisia zao za ndani. "kwa wale ambao wana hofu"

Tazama

Hii ni lahaja. Neno hili linatumika hapa kuwavuta wasikilizaji kwa kile kinachosemwa baadaye. "Sikilizeni"

Mungu wako atakuja na kisasi, kwa fidia ya Mungu

Hii inaweza kusemwa kwa neno lingine ili kwamba nomino dhahania "kisasi" na "fidia" inaelezwa kama kitenzi "adhibu". Maneno haya "kisasi" na "fidia" yana maana moja na yanasisitiza ya kwamba Mungu atawaadhibu maadui wa Yuda. "Mungu wako ataadhibu adui zako kwa kile walichokifanya"