sw_tn/isa/34/03.md

871 B

Miili ya wafu wao itatupwa nje

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Hakuna ambaye atazika wafu wao"

wafu wao

Hii ina maana ya watu waliokufa. "wale ambao wamekufa"

milima itafyonza damu yao

"milima itafunikwa katika damu yao"

mbingu itakunjwa kama hati ya kukunja

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. Hii inalinganisha kile ambacho Yahwe atafanya kwa mbingu kama mtu akikunja hati ya kukunja. "Yahwe atakunja hati ya kukunja kwa njia moja ambavyo mtu hukunja hati ya kukunja"

na nyota zao zote zitafifia, kama jani linavyofifia kutoka katika shina, na kama tini ilioiva kutoka kwenye mtini

Hii inasisitiza hata vitu katika mbingu ambavyo watu walidhani vingekuwa kule milele vitaanguka kwa urahisi kama jani. "na nyota zote zitaanguka kutoka mbinguni kama jani linavyoanguka kutoka katika shina au tini unavyoanguka kutoka katika mti"