sw_tn/isa/32/07.md

351 B

Mdanganyifu

Hii ina maana ya mtu ambaye hudanganya wengine. "udanganyifu wa mtu"

uharibifu wa maskini kwa uongo

"Maskini" ina maana ya watu maskini. Pia, msemo "kuharibu" haimaanishi kuwaua lakini kuwadhuru kwa kusema uongo juu yao. "kuwadhuru maskini kwa kusema uongo"

atasimama

Hii ina maana ya kwamba atafanikiwa. "atakuwa na mafanikio"