sw_tn/isa/31/04.md

1.2 KiB

Taarifa ya Jumla

Yahwe anazungumza na Isaya

Kama simba ... ndivyo Yahwe wa majeshi

"Simba ... kwa njia hiyo hiyo Yahwe wa majeshi". Hapa Yahwe anazungumza jinsi atakavyolinda watu ambao ni wake na kutokuogopa kwa kujilinganisha na simba ambaye hulinda mawindo yake"

ndivyo Yahwe wa majeshi atakashuka ... kilima hicho

Inaweza kuwa wazi zaidi kama ukiweka mstari wa mwisho kabla ya mstari wa kwanza. "Yahwe wa majeshi atashuka kupigana juu ya Mlima Sayuni, juu ya mlima huo, kama simba, hata simba mdogo"

simba, hata simba mdogo

"simba jike au simba muuaji". Hii ni jozi ya kufanana ikiwa na misemo miwili kumaanisha simba mkali. "simba"

huunguruma

huonya wengine kukaa mbali

kikundi cha wachungaji kinapoitwa dhidi yake

Msemo huu "kinapoitwa dhidi yake" una maana ya kutumwa kufukuza simba mbali. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "mtu anapowatuma wachungaji kufukuza simba mbali"

kutokana na sauti yao

Wachungaji hutoa sauti za juu kujaribu kufukuza simba mbali. "kutoka kwa sauti za juu ambazo wanazifanya"

atashuka

"watakuja chini". Hii ina maana kushuka kutoka mbinguni. "atakuja chini kutoka mbinguni"

juu ya Mlima Sayuni

Misemo yote miwili ina maana ya Mlima Sayuni. "juu ya Mlima Sayuni"