sw_tn/isa/29/16.md

900 B

Unageuza vitu juu chini

Hii ni lahaja ambayo ina maana ya kupotosha kile kilicho cha ukweli. "Unafanya vitu kinyume na namna vinavyotakiwa kuwa" au "Unatakiwa kupotosha ukweli"

Je! mfinyanzi achukuliwe kama udongo, ili kwamba kitu ambacho kimetengenezwa kiweze kusema juu yake ambaye amekitengeneza ... "Yeye haelewi"?

Yahwe ambaye aliumba wanadamu inazungumziwa kana kwamba alikuwa mfinyanzi na wanadamu walikuwa udongo. Sitiari hi nasisitiza ya kwamba ni upumbavu kwa wanaamu kukataa au kukosoa yule ambaye aliviumba. "Je! utanichukulia, muumba wako, kuwa kama udongo badala ya mfinyanzi? Ni kana kwamba mfinyanzi aliumba kitu, na hicho kitu kikasema kuhusu mfinyanzi, "Hakuniiumba mimi", au "Haelewi"

e! mfinyanzi achukuliwe kama udongo ... "Yeye haelewi'"?

Swali hili linatumika kukaripia watu wa Yerusalemu. "Ni dhahiri, mfinyanzi hatakiwi kuchukuliwa kama udongo ... "Yeye haelewi'"