sw_tn/isa/29/15.md

738 B

Taarifa ya Jumla

Huyu anaweza kuwa Isaya akizungumza au inaweza kuwa muendelezo wa maneno ya Yahwe katika 29:13-14.

ambao huficha kwa chini kabisa mipango yao kutoka kwa Yahwe

Watu kujaribu kutengeneza mipango bila Yahwe kujua inazungumziwa kana kwamba kama wanaficha mipango yao katika sehemu ya chini ambapo Yahwe hawezi kuona. "ambao wanajaribu kumzuia Yahwe kutogundua kile wanachopanga kufanya"

ambao mateno yao yamo gizani

Inadokezwa ya kwamba wanafanya mambo maovu kwa siri. "ambao hufanya mambo maovu gizani ili mtu asiwaone"

Ambao hutuona, na ambao wanatujua sisi?

Wanatumia swali kusisitiza ya kwamba wanaamini hakuna mtu anayejua kile wanachofanya. "Hakuna mtu, hata Yahwe, anatuona au kujua kile tunachofanya!"