sw_tn/isa/29/11.md

585 B

Ufunuo wote umekuwa kwako kama maneno ya kitabu kilichofungwa kabisa

Nabii mwingine Yerusalemu hawawezi kusikia au kuelewa ujumbe wa Mungu. "Yote ambayo Yahwe amefunua kwako ni kama kitabu kilichofungwa kabisa"

kilichofungwa, ambacho watu wanaweza kutoa kwa yule ambayo amesoma

Hii inaweza kuandikwa kama sentensi mpya. "inafungwa kabisa. Mtu anaweza kuchukua kitabu kilichofungwa kabisa kwa mtu ambaye anaweza kusoma"

kama kitabu kinatolewa kwa yule ambaye hawezi kusoma

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kama mtu anachukua kitabu kwa mtu ambaye hawezi kusoma"