sw_tn/isa/29/05.md

635 B

Umati wa wavamizi wako watakuwa kama vumbi dogo, na wingi wa walio wakatili kama makapi ya majani ambacho hupita mbali

Hii inasisitiza jinsi jeshi linalovamia ni dhaifu na lisilo na maana mbele za Mungu. "Yahwe ataondoa kirahisi umati wa wavamizi wako na wingi wa walio katili"

umati wa mavazi yako

"wanajeshi wengi watakushambulia"

walio wakatili kama makapi ya majani

"wanajeshi ambao hawataonyesha huruma watakuwa kama makapi ya majani"

Yahwe wa majeshi atakuja kwako

Neno "kwako" ina maana ya watu wa Yerusalemu. Maana zaweza kuwa 1) "Yahwe wa majeshi atakuja kukusaidia" au 2) "Yahwe wa majeshi atakuja kukuadhibu"