711 B
711 B
Taarifa ya Jumla
Isaya anaendelea kuwaambia mfano watu wa Yerusalemu.
Atakapokuwa ameandaa ardhi
"Mkulima alipolima udongo"
je! hatawanyi mbegu ya kisibiti, kupanda jira, kuweka ngano katika mistari na shayiri katika sehemu sahihi, na kusemethi katika mipaka yake?
Isaya anatumia swali kuwafanya watu wa Yerusalemu kuwaza kwa ndani. "hakika atapanda kila aina ya mbegu kwa njia sahihi katika seheu sahihi".
kisibiti ... jira
Haya ni majina ya mimea ambayo ni viungo.
ngano ... shayiri ... kusemethi
Haya ni majina ya mimea ambayo ni nafaka.
Mungu wake humwelekeza; humfundisha kw hekima
Misemo hii miwili ina maana moja. "Yahwe humsaidia mkulima kujua namna ya kutunza kila aina ya mmea"