sw_tn/isa/28/25.md

711 B

Taarifa ya Jumla

Isaya anaendelea kuwaambia mfano watu wa Yerusalemu.

Atakapokuwa ameandaa ardhi

"Mkulima alipolima udongo"

je! hatawanyi mbegu ya kisibiti, kupanda jira, kuweka ngano katika mistari na shayiri katika sehemu sahihi, na kusemethi katika mipaka yake?

Isaya anatumia swali kuwafanya watu wa Yerusalemu kuwaza kwa ndani. "hakika atapanda kila aina ya mbegu kwa njia sahihi katika seheu sahihi".

kisibiti ... jira

Haya ni majina ya mimea ambayo ni viungo.

ngano ... shayiri ... kusemethi

Haya ni majina ya mimea ambayo ni nafaka.

Mungu wake humwelekeza; humfundisha kw hekima

Misemo hii miwili ina maana moja. "Yahwe humsaidia mkulima kujua namna ya kutunza kila aina ya mmea"