sw_tn/isa/25/11.md

1.2 KiB

Watatawanya mikono yao ... mikono yake kuogelea

Tashbihi hii inasisitiza jinsi gani Yahwe atawaibisha watu wa Moabu. Watatawanya mikono yao katika kinyesi cha mnyama kama mwogeleaji anavyotawanya mikono yake majini.

Watatawanya mikono yao katikati yake

"Watu wa Moabu watasukuma mikono yao katikati ya kinyesi cha mnyama"

kama mwogeleaji anavyotawanya mikono yake kuogelea

"kana kwamba walikuwa wakiogelea"

atashusha chini kiburi chake

Yahwe kuaibisha mtu mwenye kiburi inazungumziwa kana kwamba kiburi ilikuwa kitu cha juu na Yahwe angekisababisha kuwa chini.

pamoja na ujuzi wa mikono yao

Hapa "mikono" inawakilisha nguvu ya kufanya au kutengeneza kitu. "pamoja na vitu vikubwa walivyotengeneza" au "pamoja na vitu vikubwa walivyofanya"

ngome yako ya juu ya kuta atazishusha chini mpaka kwenye ardhi, kwenye vumbi

Hii inazungumzia Yahwe kusababisha majeshi kuzileta chini kuta kana kwamba yeye mwenyewe alikuwa akienda kuzileta chini. "Atatuma jeshi kuleta ngome yako iliyo juu ya kuta ardhini, katika mavumbi"

Ngome yako ya juu

Hapa "yako" ina maana ya watu wa Moabu. Inaweza kuwekwa katika mtu wa tatu kuwe na mlingano na mstari uliopita. "Ngome yao iliyo juu"