sw_tn/isa/20/05.md

651 B

watafadhaishwa na kuaibika

"kuogopa na kupata aibu"

kwa sababu ya Kushi tumaini lao na ya Misri utukufu wao

Tumaini na utukufu ina maana ya imani yao katika nguvu ya jeshi ya nchi hizi. "kwa sababu waliamini katika nguvu ya majeshi ya Kushi na Misri"

wakazi wa pwani hizi

watu ambao waliishi katika nchi zinazopakana na Bahari ya Mediteranea

ambapo tulikimbilia kwa ajili ya msaada kukombolewa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ambapo tuliporokea ili kwamba waweze kutukomboa"

na sasa, tutatorokaje?

Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza jinsi hali yao ilivyokosa tumaini. "Sasa hakuna njia kwa ajili yetu kutoroka!"