651 B
651 B
watafadhaishwa na kuaibika
"kuogopa na kupata aibu"
kwa sababu ya Kushi tumaini lao na ya Misri utukufu wao
Tumaini na utukufu ina maana ya imani yao katika nguvu ya jeshi ya nchi hizi. "kwa sababu waliamini katika nguvu ya majeshi ya Kushi na Misri"
wakazi wa pwani hizi
watu ambao waliishi katika nchi zinazopakana na Bahari ya Mediteranea
ambapo tulikimbilia kwa ajili ya msaada kukombolewa
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ambapo tuliporokea ili kwamba waweze kutukomboa"
na sasa, tutatorokaje?
Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza jinsi hali yao ilivyokosa tumaini. "Sasa hakuna njia kwa ajili yetu kutoroka!"