sw_tn/isa/15/08.md

998 B

Taarifa ya Jumla

Hii inaendeleza unabii kuhusu watu wa Moabu. Mungu anafafanua matukio ambayo yatatokea katika muda ujao kana kwamba inatokea katika muda wa sasa.

Kilio kimeenda kuzunguka eneo la Moabu

Watu kulia na wengine kusikia inazungumziwa kana kwamba kilio kimetoka nje. "Watu juu ya eneo lote la Moabu wanalia"

maombolezo yamefika mbali mpaka Eglaimu na Beer-Elimu

Maneno "yamefika" yanaeleweka. Watu kulia na wengine kusikia inazungumzwa kana kwamba kilio kimetoka na kufika mbali hadi maeneo haya mawili. "kilio kimefika mbali mpaka Eglaimu na Beer-Elimu" au "watu hata umbali wa Elaimu na Beer-Elimu wanalia"

Eglaimu ... Beer-Elimu ... Dimoni

Haya ni majina ya miji mikubwa na miji midogo. Dimoni ulikuwa mji mkuu wa nchi ya Moabu. Baadhi ya tafsiri za kisasa zina "Diboni" badala ya "Dimoni".

lakini nitaleta zaidi juu ya Dimoni

Hapa "nitaleta" ina maana ya Yahwe. Pia, "juu ya Dimoni" ina maana ya watu. "lakini nitasababisha hata matatizo zaidi kwa watu wa Dimoni"