sw_tn/isa/10/07.md

959 B

Lakini hivi sivyo kile anachokusudia, wala hawazi kwa namna hii

Maana ya "hivi" na "namna hii" zinaweza kuwekwa wazi. "lakini mfalme wa Ashuru hakusudii kufanya kile ninachomuambia, na wala hafikirii ya kwamba ninamtumia kama silaha"

Ni katika moyo wake kuangamiza na kuondoa mataifa mengi

Maneno "angamiza" na "ondoa" ina maana moja. Zinatumiwa kwa ajili ya msisitizo. "Anataka uangamize kabisa mataifa mengi"

Je! wakuu wangu wote sio wafalme?

Mfalme wa Ashuru anatumia swali kusisitiza kile anachoamini kila mtu anatakiwa kuwa anakifahamu. "Nimefanya makapteni kutoka kwa wafalme wa jeshi langu juu ya nchi nilizozishinda!"

Je! Kalno sio kama Karkemishi? Hamathi sio kama Arpadi? Je! Samaria sio kama Damesk?

Mfalme wa Ashuru anatumia maswali haya kwa ajili ya msisitizo. "kalno sio tofauti na Karkemishi. Hamathi sio tofauti na Arpadi. Samaria sio tofauti na Dameski. Nimezishinda zote!"

Kalno ... Karkemishi ...

Haya ni majina ya miji.