sw_tn/isa/09/08.md

849 B

Bwana alituma neno dhidi ya Yakobo, nalo likaanguka juu ya Israeli

"Tuma neno" ina maana ya kuzungumza. "Bwana amezungumza dhidi ya watu wa Israeli"

Yakobo ... Israeli ... Efraimu ... Samaria

Majina haya yana maana ya watu wa ufalme wa kaskazini wa Israeli.

Watu wote watajua, hata Efraimu na wakazi wa Samaria

Kile watakachojua kinaweza kuwekwa wazi. "Watu wote watajua ya kwamba Bwana amewahukumu wao, hata wale wa Efraimu na Samaria"

Matofali yameanguka, lakini tutaijenga tena kwa mawe ya kuchonga; mkuyu umekatwa chini, lakin tutaweka mkangazi katika nafasi yao

Maana kamili inaweza kuwekwa wazi. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Tutarudishia mahali pake matofali ya kawaida ya miji yetu iliyoangamizwa kwa mawe ya gharama ya kuchongwa, na tutapanda miti mikubwa ya mikangazi ambapo miti ya kawaida ya mkuyu iliota"