sw_tn/hos/14/09.md

443 B

Taarifa ya jumla:

Nabii Hosea anazungumza.

Nani mwenye busara ili aelewe mambo haya? Nani anaelewa mambo haya ili awatambue?

Nabii anatumia maswali haya kusema kuwa watu wenye busara wataelewa na kusikiliza kile atakachokisema.

Kwa kuwa njia za Bwana ni sawa, na wenye haki watatembea ndani yao

Amri za Bwana zinazungumzwa kama njia ya kupitia.

wataanguka

Kutomtii Bwana kunazungumzwa kama kutendo cha kuanguka ukiwa unatembea.