sw_tn/hos/12/13.md

361 B

Taarifa ya jumla:

Nabii Hosea anazungumza.

kwa nabii

Ambaye ni Musa.

amemkasirisha

Hasira ambayo mtu ameisababisha kwa Bwana ni kubwa mno.

Basi Bwana wake ataachia damu yake

Hapa "damu" ni hatia iliyopo kwa mtu aliyemuua mwenzake. Mungu haitaisamehe dhambi hiyo.

naye atamrudishia aibu yake

"atamfanya ateseke kutokana na matendo yake maovu"