sw_tn/hos/12/11.md

322 B

Taarifa ya jumla:

Nabii Hosea anazungumza.

madhabahu zao zitakuwa kama miundo ya jiwe katika miamba ya mashamba

Madhabahu ambazo watu wataabudia zitaangushwa chini na kuwa vipande vya mawe.

Yakobo akakimbia mpaka nchi ya Aramu; Israeli alifanya kazi ili kupata mke

"Yakobo" na "Israeli" ni majina ya mtu mmoja.