sw_tn/hos/11/12.md

354 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza kuhusu Israeli na Yuda.

Efraimu ananizunguka kwa maneno ya uongo, na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu

Vitendo vya uongo na udanganyifu vinazungumzwa ka vitu ambavyo watu wa ufalme wa kaskazini wamemzunguka navyo Bwana.

Lakini Yuda bado anaendelea nami

Watu wa ufalme wa kusini bado ni waaminifu kwa Mungu.