479 B
479 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza kuhusu lini atawakomboa watu wake.
Watanifuata, Bwana
Kumuabudu na kumuheshimu Bwana kunazungumzwa kama kitendo cha kumfuata nyuma yake.
Nitanguruma kama simba
Bwana atawafanya watu wake warudi kwenye nchi yake na kitendo hiki kimezungunzwa kama kitendo cha kuitwa.
Watakuja wakitetemeka kama ndege ... kama njiwa
Watarudi nyumbani mapema kama vile ndege anavyorudi kwenye kiota chake.
tamko la Bwana
"ambalo Bwana anasema"