sw_tn/hos/11/08.md

688 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anaongea juu ya Israeli.

Ninawezaje kukuacha, Efraimu? Ninawezaje kukupeleka, Israeli?

Bwana anawapenda watu wake sana kiasi kwamba hatawaharibu kabisa.

Ninawezaje kukufanya kama Adma? Ninawezaje kukufanya kama Seboimu?

Bwana anawapenda watu wake sana kiasi kwamba hatawaharibu kabisa. "Sitaki kuwaangamiza kama nilivyoiangamiza Adma na Seboimu miji niliyoiangamiza pamoja na Sodoma"

Kwa maana mimi ni Mungu na wala si mtu

Mungu si kama mwanadamu anayeamua haraka kulipa kisasi.

Moyo wangu umebadilika ndani yangu

Hapa "moyo" unawakilisha mapenzi ya Mungu na maamuzi yake.

sitakuja katika ghadhabu

"Sitakuja kwako na kuwa na hasira na wewe"