sw_tn/hos/11/03.md

643 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anasema ni kwa namna gani anawajali Waisraeli.

Lakini mimi ndio niliyemfundisha Efraimu kutembea

Bwana anawaelezea Waisraeli kama watoto wadogo aliowafundisha kutembea.

niliyewainua kwa mikono zao

"kuwajali wao"

Niliwaongoza kwa kamba za ubinadamu, na mafungo ya upendo

Bwana aliwapenda watu wake kwa namna ambayo hakuna binadamu ambaye angeelewa na kujali.

Mimi nilikuwa kama mtu aliyepunguza jozi juu ya taya zao

Bwana anazungumza juu ya taifa la Israeli kama mnyama afanyaye kazi ngumu na kuifanya kazi yake kuwa rahisi.

nikainama na kuwalisha

Hii inamaanisha kuwa Bwana aliwapa mahitaji yao.