sw_tn/hos/10/05.md

473 B

Taarifa ya jumla:

Hosea anazungumza juu ya Israeli.

Beth Aveni

Huu ulikuwa mji uliokuwa kaskazini mpakati mwa ufalme wa Israeli na kabila la Benyamini lililopo kusini mwa ufalme.

watachukuliwa kwenda Ashuru

"Waashuru watawachukua"

Efraimu atakuwa na aibu, na Israeli atakuwa na aibu kwa sanamu yake

"Na watu wa Israeli wataaibika sana kwa sababu waliabudu miungu"

Sanamu yake

Nakala nyingi zimetafsiri neno hili la Kiebrania kama "mipango" au "mikakati"