sw_tn/hos/09/15.md

202 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

nitawafukuza nje ya nyumba yangu

Bwana anasema kuwa atawafukuza Israeli kutoka kwenye nchi yake, nchi ya Kanaani.

Maofisa wao.

Watu wanaomtumikia mfalme.