sw_tn/hos/09/10.md

456 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Nilipoikuta Israeli

Hii inaonesha mara ya kwanza Bwana alipoanza mahusiano na wana wa Israeli kwa kuwafanya watu wa pekee.

ilikuwa kama kutafuta zabibu jangwani. Kama matunda ya kwanza ya msimu kwenye mtini

Hii ina maana moja kusisitiza namna ambavyo Bwana alikuwa na furaha alipoanza mahusiano na watu wa Israeli.

Baal Peori

Hili ni jina la mlima katika nchi ya Moabu ambapo miungu ya uongo iliabudiwa.