sw_tn/hos/08/11.md

254 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Ningeandika sheria yangu kwao mara elfu kumi

Hii inamaanisha kwamba tayari Bwana aliwapa Israeli sheria yake kupitia manabii na kuwaambia ni kitu gani alitarajia kutoka kwao mara nyingi.

Elfu kumi

"10,000"