sw_tn/hos/06/10.md

414 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Uzinzi wa Efraimu

"uzinzi" inamaana kuwa Efraimu anaiabudu miungu ya uongo.

Israeli ametiwa unajisi

Israeli hajakubaliwa na Mungu kwa sababu ya vitendo vyake.

Kwa maana wewe, Yuda, mavuno yameteuliwa

"Nimetenga mda wa mavuno kwako pia , Yuda"

Mavuno

"Mavuno" inawakilisha siku ya Mungu ya mwisho ya hukumu kwa Israeli na Yuda.

Urihi

mafanikio na usalama