sw_tn/hos/06/04.md

585 B

Sentensi unganishi:

Bwana anazungumza.

nikufanyie nini?

Mungu anaelezea kwamba subira yake inakaribia mwisho na kilichobaki ni hukumu.

Kwa hiyo nimewavunja vipande vipande kwa manabii

Kwa kupitia manabii wake, Bwana anatangaza kuangamiza taifa lililoasi.

Maagizo yako ni kama nuru inayoangaza

Hapa nabii Hosea anazungumza na Mungu. Anaweza kuwa na maana ya Mungu kutoa amri ya mtu kufa kama adhabu ni kama mwanga unaopiga. Au inaweza kuwa na maana kuwa Amri za Mungu zinawaruhusu watu kuijua kweli kama mwanga unaofanya vitu vionekane.

Maagizo yako

"Amri za Bwana"