sw_tn/hos/04/15.md

690 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza juu ya Yuda na Israeli.

Yuda asiwe na hatia

Mungu anajua ni kwa kiasi gani Israeli wamefanya dhambi na hataki Yuda afanye kitu hicho hicho.

Ninyi msiende Gilgali; msiende hadi Beth Aven

Watu wa Yuda wanaonywa wasiende kwenye mji wa Gilgali au Beth Aven kuabudu miungu katika maeneo hayo.

Beth Aven

Huu ulikuwa mji uliokuwa kaskazini mpakati mwa ufalme wa Israeli na kabila la Benyamini lililopo kusini mwa ufalme.

kama ndama mkaidi

Israeli anafananishwa na ndama ambaye hamsikilizi bwana wake.

Je! Bwana anaweza kuwaleta kwenye malisho kama kondoo mahali penye nafasi?

Bwana hawezi kuwalisha watu kama kondoo wakati watu ni waasi.