sw_tn/hos/04/13.md

424 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza juu ya Israeli.

juu ya milima ... kwenye milima

Ilikuwa ni kawaida watu kuweka miungu kwenye maeneo hayo, mara nyingi huitwa "sehemu za juu" katika agano la kale.

makahaba

Hawa ni wanawake wanaofanya uzinzi na wanaume wanaoenda kuabudu miungu fulani.

Hivyo watu wasiofahamu wataangamizwa.

Bwana ataangamiza taifa la Israeli kwa sababu hawakuelewe wala kutii amri za Mungu.