sw_tn/hos/04/10.md

288 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza juu ya Israeli.

lakini hawataongezeka

"lakini hawatakuwa na watoto"

wamekwenda mbali

Watu wameacha kumwabudu na kumfuata Mungu.

Bwana

Mtafsiri yupo huru kubadilisha "Bwana" na kuweka "mimi" kwa sababu Bwana ndiye anayeongea maneno haya.