Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza juu ya Israeli.
lakini hawataongezeka
"lakini hawatakuwa na watoto"
wamekwenda mbali
Watu wameacha kumwabudu na kumfuata Mungu.
Bwana
Mtafsiri yupo huru kubadilisha "Bwana" na kuweka "mimi" kwa sababu Bwana ndiye anayeongea maneno haya.