sw_tn/hos/04/08.md

458 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anaendelea kuzungumza kuhusu makuhani.

Wanajilisha dhambi ya watu wangu

Watu walipotenda dhambi walitoa sadaka ili Mungu awasamehe. Makuhani waliruhisiwa kula sadaka hizo.

wao ni wenye tamaa zaidi ya uovu wao

Makuhani walitaka watu waendelee kutenda dhambi ili watoe sadaka ambazo makuhani watazila.

Itakuwa sawa kwa watu kama kwa makuhani

"Watu pamoja na makuhani watapewa adhabu ile ile"

matendo yao.

"tabia zao"