sw_tn/hos/04/04.md

436 B

Taarifa ya jumla:

Mungu anazungumza juu ya Israeli.

Mashitaka

Haya ni malalamiko ya mtu mmoja dhidi ya mtu mwingine mahakamani.

msiruhusu mtu yeyote ahukumu mtu mwingine

Mtu yeyote asimuhukumu mtu mwingine kwa lolote kwa sababu kila mtu ni mkosaji wa jambo fulani.

Ninyi makuhani mtajikwaa

"kujikwaa" inamaanisha kutomtii Mungu na kuacha kumtumaini.

nitamwangamiza mama yako

Hapa "mama" inamaanisha taifa la Israeli.