sw_tn/hos/04/03.md

202 B

Kwa hiyo nchi inakauka

Maelezo haya yanamaanisha ukame ambapo mvua haijanyesha kwa muda mrefu.

Anaangamia

kuwa dhaifu na kufa kwa sababu ya ugonjwa au kukosa chakula.

wanaondolewa

"wanakufa"