sw_tn/hos/04/01.md

562 B

Taarifa ya jumla:

Sura hii inaanza kwa kuonesha malumbano ya Bwana dhidi ya Waisraeli wasio waaminifu.

Bwana ana mashtaka dhidi ya wenyeji wa nchi

Bwana anaeleza kuwa wana wa Israeli wamefanya dhambi dhidi yake na kuvunja agano lake hii inazungumzwa kama vile Bwana anawashitaki mahakamani.

Mashitaka

Haya ni malalamiko ya mtu mmoja dhidi ya mtu mwingine mahakamani.

Watu wamevunja mipaka yote

"mipaka" ni mwisho wa vitu ambavyo sheria inaruhusu. "Watu wamevunja sheria kwa namna zote"

damu inakuja baada ya damu

"damu" inasimama kama mauaji.