sw_tn/hos/03/04.md

723 B

Kwa maana wana wa Israeli wataishi kwa siku nyingi bila mfalme, mtu mkuu, dhabihu, nguzo ya mawe, efodi au sanamu za nyumbani.

Kama vile Hosea hakuishi na mke wake kwa sababu alikuwa mzinzi, Israeli wataishi bila mfalme na bila kumwabudu Mungu kwa sababu wamefanya uzinzi.

kumtafuta Bwana Mungu wao

"kimtafta" inamaanisha kumwomba Mungu kuwakubali wao.

Daudi mfalme wao

"Daudi" inawakilisha uzao wote wa Daudi. "uzao wa Daudi utakuwa mfalme wao"

Na katika siku za mwisho

Hapa "siku za mwisho" inamaanisha kipindi cha baadae.

watakuja wakitetemeka mbele za Bwana na wema wake.

Hapa "kutetemeka" inawakilisha hisia za utu. "Walirejea kwa Bwana wakijinyenyekesha wenyewe, kumtii yeye na kuomba baraka zake"