sw_tn/heb/02/11.md

886 B

Maelezo ya Jumla:

Nukuu hii ya kinabii inatoka katika Zaburi ya Mfalme Daudi.

yeye anaye dhabihu

yeye anayewafanya wenzake watakatifu" au " "yeye awafanyae wengine kujtenga na dhambi"

walio takaswa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji: AT: "wote anao wafanya watakatifu" au" wale anaowasafisha kutoka katika dhambi.

kuwa na chanzo kimoja

ambaye ni chanzo hicho ni nani inaweza kusemwa kwa ufasaha. AT: "muwe na chanzo, Mungu mwenyewe" au" muwe na yule yule.

haoni aibu

"Yesu haoni aibu"

haoni aibu kuwaita ndugu

maneno mawili hasi yanamaanisha atawafanya kama ndugu zake. AT: "anafurahishwa kuwaita ndugu"

Nitalitangaza jina langu kwa ndugu zangu

"Jina" hapa linamaanisha heshima ya mtu na kile walichokifanya. AT: "Nitatangaza kwa ndugu zangu mambo makuu uliyoyafanya"

kutoka katika asili/ kundi moja

"wakati waumini wanakuja pamoja kumwabudu Mungu"