sw_tn/hag/01/03.md

520 B

kwa mkono wa Haghai

"Ulikuja kupitia maneno" (au 'mdomo') wa Haghai

ni wakati wenu wa kukaa kwenye nyumba zenu zilizokamilika?

Tazama UDB

wakati nyumba hii inaharibika

Neno "Nyumba" hapa inamaanisha hekalu ya Mungu.

lakini usilewe

Hapa aya hii haimaanishi kuwa kulewa siyo kitu kizuri. Badala yake hakuna mvinyo unaoweza kukidhi kiu ya watu na haitoshi kwa kunywa.

mishahara mnayopata ya fedha mnaweka kwenye mfungo ambao umejaa mashimo

"pesa unayotengeneza kazini haiwezi kukunulia vitu vya kutosha"