sw_tn/gen/48/01.md

743 B

Ikawa

Msemo huu unatumika hapa kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.

mmojawapo akamwambia Yusufu

"mtu akamwambia Yusufu"

Tazama, baba yako

"Sikiliza, baba yako". Hapa neno "tazama" linatumika kuvuta nadhari ya Yusufu.

Hivyo akaondoka

"Kwa hiyo Yusufu akaondoka"

Yakobo alipoambiwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu alipomuambia Yakobo"

mwanao Yusufu amekuja kukuona

"mwanao Yusufu amekuja kwako"

Israeli akakusanya nguvu na kukaa juu ya kitanda

Hapa mwandishi anazungumzia juu ya Israeli kuhangaika kuketi kitandani kana kwamba alikuwa akikusanya "nguvu" kama vile mtu akusanyavyo vitu halisia. "Israeli alifanya bidii kubwa kukaa kitandani" au "Israeli alihangaika alipokaa juu kitandani"