sw_tn/gen/39/13.md

643 B

Ikawa ... akawaita

"Kisha ... akawaita." Msemo "ikawa kwamba" unatumika hapa kuweka alama kwa tukio lifuatalo katika simulizi.

na kwamba amekimbia nje

"na kwa haraka alikimbia nje ya nyumba"

watu wa nyumbani mwake

"wanamume waliofanya kazi katika nyumba yake"

Tazama

"Sikiliza". Mke wa Potifa anatumia neno hili kuvuta nadhari ya watumishi wake.

Aliingia kulala nami

Hapa mke wa Potifa anamtuhumu Yusufu kwa kujaribu kumkamata na kulala naye.

Ikawa aliponisikia nikipiga kelele, akaniacha

"Ikawa aliponisikia nikipiga kelele, akaniacha". Msemo "ikawa kwamba" unatumika hapa kuweka alama kwa tukio lifuatalo la simulizi.