483 B
483 B
ushungi
kitambaa chembamba sana kinachotumika kufunika kichwa na uso wa mwanamke.
vazi la ujane wake
"ambayo wajane huvaa"
kutoka kundini
"kutoka katika kundi lake"
Mwadulami
"Adulami" ni jina la kijiji ambapo Hiramu aliishi.
aichukue rehani
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "chukua rehani"
kutoka katika mkono wa mwanamke
Hapa "mkono" unasisitiza ya kwamba vilikuwa katika umiliki wake. Mkono wa mwanamke una maana ya mwanamke. "kutoka kwa mwanamke"