sw_tn/gen/32/17.md

1.0 KiB

Akamwagiza

"Akamuamuru"

kukuuliza .... ambao wako mbele yenu?

Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "kukuuliza bwana wako ni nani, unakwenda wapi, na nani anamiliki wanyama walio mbele yako"

ni wa nani?

"Bwana wako ni nani?"

wanyama hawa mbele yenu ni wa nani?

"Nani anamiliki wanyama hawa ambao wako mbele yako?"

Ndipo umwambie, 'Ni wa mtumishi wako Yakobo. Ni zawadi wanaopelekwa kwa bwana wangu Esau. Na tazama, yeye pia anakuja nyuma yetu."

Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "Kisha ntataka kumwambia ya kwamba vitu vyote hivi ni vya Yakobo, mtumishi wake, na anampatia bwana wake, Esau. Na mwambie ya kwamba Yakobo yupo njiani kukutana naye"

mtumishi wako Yakobo

Yakobo anajifafanua kwa njia ya upole kama mtumishi wa Esau.

kwa bwana wangu Esau

Yakobo anajifafanua kwa Esau kwa njia ya upole kama bwana wake.

anakuja nyuma yetu

Hapa "yetu" ina maana ya mtumishi akizungumza na watumishi wengine kuleta mifugo kwa Esau.