sw_tn/gen/32/11.md

976 B

niokoe

"niokoe"

kutoka katika mikono ya ndugu yangu, mikono ya Esau

Hapa neno "mikono" ina maana ya nguvu. Misemo miwili ina maana moja. Msemo wa pili unaelezea ya kwamba kaka ambaye Yakobo alikusudia ni Esau. "kutoka kwa nguvu ya kaka yangu, Esau" au "kutoka kwa kaka yangu, Esau"

namwogopa, kwamba

"Ninaogopa ya kwamba"

Lakini ulisema, 'hakika nitakufanya ufanikiwe. Nitaufanya uzao wako ... hesabu.'

Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "Lakini ulisema ya kwamba utanitafanikisha, na kwamba utafanya uzao wangu .. hesabu"

nitakufanya ufanikiwe

"kufanya mema kwako" au "kukutendea mema"

Nitaufanya uzao wako kuwa kama mchanga wa bahari

Hii inazungumzia hesabu kubwa ya uzao wa yakobo kana kwamba hesabu yake itakuwa kama chembe za mchanga za pwani za baharini.

ambao hauwezi kuhesabika kwa hesabu yake

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo hakuna mtu awezaye kuhesabu kwa sababu ya hesabu yake"