sw_tn/gen/30/03.md

609 B

Akasema

"Raheli akasema"

Tazama

"Sikiliza" au "Vuta nadhari kwa kile nachotaka kukuambia". Hii inaongeza msisitizo kwa kile Raheli anachosema baadae"

kuna mjakazi wangu Bilha ... nami nitapata watoto kwake

Katika kipindi hicho, njia hii ilikuwa inakubalika kwa mwanamke tasa kupata watoto ambao kisheria wangekuwa wa kwake. Maana kamili inaweza kuwekwa wazi.

Bilha

Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Raheli.

magotini pangu

Hii ni namna ya kusema ya kwamba mtoto ambaye Bilha anamzaa atakuwa wa Raheli. "wa kwangu"

nami nitapata watoto kwake

"na kwa njia hii atanifanya niwe na watoto"