sw_tn/gen/29/23.md

962 B

aliyelala naye

Inadokezwa ya kwamba Yakobo hakujua alikuwa na Lea kwa sababu ilikuwa giza na hakuweza kuona. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi.

Labani akampa mtumishi wake wakike Zilpa ... mtumishi wake

Hapa mwandishi anatoa taarifa ya nyuma kuhusu Labani kumpa Zilfa kwa Lea. Inawezekana alimpa Zilfa kwa Lea kabla ya harusi.

Zilpa

Hili ni jina la mtumishi wa Lea.

tazama, kumbe ni Lea

"Yakobo alishangazwa kuona ilikuwa ni Lea kitandani pamoja naye". Neno "tazama" hapa linaonyesha ya kwamba Yakobo alishtushwa na kile alichokiona"

Ni nini hiki ulichonifanyia?

"Yakobo alishangazwa kuona alikuwa Lea kitandani pamoja naye." Neno "tazama" hapa linaonyesha ya kwamba Yakobo alishtushwa na kile alichoona.

Je sikukutumikia kwa ajili ya Raheli?

Yakobo anatumia maswali haya kuonyesha maumivu yake ya kwamba Labani alimdanganya. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Nimekutumikia kwa miaka saba kumuoa Raheli"